iqna

IQNA

mauritania
TEHRAN (IQNA)- Mahafali ya kuhitumu wanafunzi 200 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu yamefanyika katika Kituo cha Kufunza Kiarabu na Sayansi za Kiislamu nchini Mauritania.
Habari ID: 3471517    Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/17

Nakala za Qur'ani zimesambazwa katika misikiti iliyoharibiwa na kisha kukarabatiwa baada ya kuharibiwa katika mafuriko.
Habari ID: 3470575    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/22

Mahakama ya Rufaa ya Mauritania imeidhinisha hukumu ya kifo dhidi ya mwandishi aliyemvunjia heshima Mtume Muhammad (saw).
Habari ID: 3470263    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/23

Mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott ni mwenyeji wa kongamano la kimataifa kuhusu namna mafundisho ya Qur'ani yanavyoweza kuwasaidia Waislamu.
Habari ID: 3468305    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/22

Kumefanyika maandamano kusini mashariki mwa Mauritania kulaani hatua ya serikali ya nchi hiyo kufunga vyuo na madrassa au chekechea za Qur’ani.
Habari ID: 3465832    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/19

Wananchi wa Mauritania wameandamana katika maeneo mbalimbali ya mji mkuu, Nouakchott kulaani kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 1383053    Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/04