iqna

IQNA

ujerumani
Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Katika wakati huu wa kukarbia siku ya 15 ya mwezi wa Hijri wa Sha'aban, Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali (AS) mjini Berlin, Ujerumani, kimeandaa msururu wa mashindano ya watoto, vijana na vijana.
Habari ID: 3476639    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/28

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Maiti ya Muislamu mmoja ilichomwa moto nchini Ujerumani baada ya hospitali mjini Hannover kuchanganya maiti mbili.
Habari ID: 3476294    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Visa 120 vya uhalifu wa chuki dhidi ya Uislamu viliripotiwa nchini Ujerumani katika robo ya tatu ya mwaka huu.
Habari ID: 3476213    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/07

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA) - Mawe kadhaa ya makaburi ya Waislamu yameharibiwa kaskazini mwa Ujerumani siku ya Jumanne, amesema mkuu wa jumuiya ya Kiislamu eneo hilo.
Habari ID: 3476140    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/24

Uislamu nchini Ujerumani
TEHRAN (IQNA) – Kwa mujibu wa utafiti, chuki dhidi ya wageni na chuki dhidi ya Waislamu imekuwa ikiongezeka kwa kasi mashariki mwa Ujerumani.
Habari ID: 3476064    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/10

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Wawakilishi kutoka nchi 30 wanatazamiwa kushiriki katika mashindano ya kimataifa ya Qur'ani nchini Ujerumani mwezi Novemba.
Habari ID: 3475943    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/17

Waislamu Ujerumani
TEHRAN (IQNA)- Kwa mara ya kwanza kabisa, Adhana imesikika katika moja kati ya misikiti mikubwa zaidi nchini Ujerumani mjini Cologne.
Habari ID: 3475931    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/15

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN(IQNA)- Mitazamo hasi na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu vimeongezeka kwa kiwango cha kutia wasiwasi nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475890    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Idara ya Kupambana na Itikadi Kali ya Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar imesema imeashiria ongezeko la chuki dhidi ya Uislamu nchini Ujerumani, na kusema hilo limeenda sambamba na kushadidi mashambulizi ya vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3475642    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/18

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Mkuu wa Vyuo vya Kiislamu nchini Iran amelaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu huko Hamburg, Ujerumani.
Habari ID: 3475617    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/13

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali kitendo cha kichochezi cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, na kutusiwa matukufu ya Kiislamu nchini Ujerumani.
Habari ID: 3475593    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/08

Idul Ghadir
TEHRAN (IQNA) - Kozi za Qur'ani Tukufu za Kituo cha Kiislamu cha Imam Ali (AS) huko Berlin, mji mkuu wa Ujerumani, zimehitimishwa kwa sherehe Jumapili jioni.
Habari ID: 3475514    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17

TEHRAN (IQNA) – Zaidi ya misikiti 800 nchini Ujerumani ililengwa kwa vitisho au ilishambuliwa na wenye chuki dhidi ya Uislamu kuanzia 2014 hadi 2022.
Habari ID: 3475364    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Waislamu na michezo
TEHRAN (IQNA)- Mesut Ozil, mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya Ujerumani, alihudhuria sala ya Ijumaa katika Msikiti Mkuu wa Istiqlal katika mji mkuu wa Indonesia Jakarta.
Habari ID: 3475305    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/28

Uislamu na Ukristo
TEHRAN (IQNA) – Msomo wa Kijerumani anaamini kwamba Qur'ani Tukufu imesaidia kuimarisha utambulisho wa Kikristo.
Habari ID: 3475262    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/17

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ujerumani imebatilisha uamuzi wake wa kumuenzi mwanahistoria wa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya matamshi yake ya kukana mauaji ya Waislamu.
Habari ID: 3474750    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/01

TEHRAN (IQNA)- Mtu asiyejulikana anayeaminikwa kuwa ni mwenye chuki dhidi ya Uislamu ameushambulia msikiti mmoja huko Cologne, magharibi mwa Ujerumani mapema Ijumaa.
Habari ID: 3474581    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/20

TEHRAN (IQNA) – Kitabu chenye anuani ya "Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia): Kabiliana Nayo kwa Jina la Amani" kimechapishwa kwa lugha ya Kiingereza nchini Ujerumani kwa ajili ya watoto.
Habari ID: 3474515    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/04

TEHRAN (IQNA)- Wakuu wa Ujerumani wameruhusu adhana kupitia vipaza sauti wakati wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Cologne wenye Waislamu wengi.
Habari ID: 3474410    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/11

TEHRAN (IQNA)- Kozi ya mafunzo ya kidini imeandaliwa kwa pamoja baina ya Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu cha Iran kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Ujerumani cha Paderborn.
Habari ID: 3474178    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/08/10