Habari Maalumu
IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zahran Mamdani, ametetea agizo lake linaloweka mipaka kwa ukamataji unaofanywa na maafisa wa Idara ya Uhamiaji na Forodha...
08 Feb 2026, 11:51
IQNA – Katika ishara ya kimaadili na ya kidiplomasia inayoonesha mshikamano na watu wa Palestina, Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da Silva alivaa keffiyeh...
07 Feb 2026, 10:01
IQNA-Malaysia inaendelea kutumia diplomasia ya kitamaduni na kidini kwa kusambaza nakala 40,000 za Qur’ani Tukufu zenye tarjuma katika lugha mbali mbali...
07 Feb 2026, 09:51
IQNA – Baraza la Kisayansi la Qur’ani Tukufu chini ya Idara ya Usimamizi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) liliandaa kikao maalumu cha Qur’ani mjini...
07 Feb 2026, 08:12
IQNA- Mlipuko mkubwa umetikisa msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika viunga vya mji mkuu wa Pakistan wakati wa sala ya Ijumaa, na ambapo watu...
07 Feb 2026, 08:06
IQNA-Malaysia iko mbioni kuanzisha chuo kikuu maalumu kwa elimu za Qur’ani, kufuatia ridhaa ya Sultan wa Pahang ya kubadilisha jina la taasisi ya elimu...
07 Feb 2026, 08:18
IQNA – Profesa mmoja wa Chuo Kikuu kutoka Iraq ameyalezea Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si tu kama tukio la kisiasa, bali kama mabadiliko makubwa katika...
07 Feb 2026, 07:56
IQNA – Wageni wa Jumba la Makumbusho ya Qur’ani Tukufu katika Wilaya ya Kitamaduni ya Ḥirā’, mjini Makka, sasa wanayo fursa ya kushuhudia turathi adhimu...
05 Feb 2026, 12:22
Mwokozi katika Qur’ani Tukufu / 1
IQNA – Aya ya 55 ya Surat An-Nur inaeleza juu ya jamii tukufu ambayo bado haijawahi kutimia kikamilifu katika ulimwengu huu, wala haiwezi kutekelezwa juu...
05 Feb 2026, 11:54
Kundi la wasomi, wanafalsafa na wanaharakati kutoka sehemu mbalimbali za dunia limetangaza kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
04 Feb 2026, 18:01
IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangazwa rasmi kuwa “Mahdi Yavar" yaani Msaidizi wa Imam Mahdi' wa Mwaka.
04 Feb 2026, 20:42
IQNA – Katika juhudi za kuwaongoza vijana kupitia malezi ya kiroho, kijamii na kitaaluma, serikali ya Malaysia iko mbioni kuanzisha mtandao wa misikiti...
04 Feb 2026, 19:13
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran
IQNA-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewaita mabalozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya azimio la hivi karibuni...
04 Feb 2026, 18:51
IQNA-Tuko katika siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ambayo ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama, Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri...
03 Feb 2026, 16:04
IQNA — Kwa mujibu wa wataalamu wa elimu ya nyota, mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026 kwa hesabu za kiastronomia unatarajiwa kuanza Alhamisi, Februari...
03 Feb 2026, 14:06
IQNA — Mufti Mkuu wa Oman amekosoa vikali ukimya na kutochukua hatua kwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) pamoja na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu...
03 Feb 2026, 13:24