Habari Maalumu
Kimbunga cha Al Aqsa
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei anasema tukio la kihistoria la Kimbunga cha al-Aqsa cha harakati ya Hamas...
29 Nov 2023, 16:10
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA)- Kutokana na udharura na haja ya kuongezwa na kuimarishwa umoja na mshikamano baina ya wapenda uhuru na wapigania haki hususan nchi za Kiislamu...
29 Nov 2023, 15:25
Khums katika Uislamu /8
TEHRAN (IQNA) - Khums na Zaka ni pesa au mali zinazopokelewa na taasisi za kidini za Kiislamu wakati ushuru unakusanywa na serikali.
29 Nov 2023, 15:18
Maonyesho ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Waandaaji wa toleo lijalo la Maonyesho ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Tehran wanakaribisha mawazo mapya ya kuandaa vyema tukio hilo...
29 Nov 2023, 15:11
Chuki dhidi ya Uislamu
BRUSSELS (IQNA) - Mahakama kuu ya Umoja wa Ulaya imeamua Jumanne kwamba waajiri wa umma katika nchi wanachama wanaweza kupiga marufuku wafanyakazi kuvaa...
29 Nov 2023, 14:38
Waislamu Ujerumani
BERLIN (IQNA) – Kiongozi mmoja wa jamii ya Waislamu nchini Ujerumani ameelezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa chuki dhidi ya Waislamu nchini humo...
28 Nov 2023, 16:57
Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) – Kundi la wataalam kutoka nchi mbalimbali watafanya mkutano wa kimataifa tarehe 29 Novemba 2023, kujadili kufeli sheria za kimataifa na...
28 Nov 2023, 16:38
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Mauaji ya kimbari ambayo yanatekelezwa na utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza yalitokea kwa sababu Umma wa Kiislamu umegawanyika,...
28 Nov 2023, 15:56
Fatwa
CAIRO (IQNA) – Taasisi ya Dar ul Ifta ya Misri imetangaza kuwa hairuhusiwi au haijuzu kidini kuupa msikiti wowote jina la Al-Aqsa.
28 Nov 2023, 15:24
Jinai za Israel
Jeshi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel limekiri kuwa zaidi ya askari wake 1,000 wa walowezi wa utawala huo waliuawa wakati wa mapigano ya Kimbunga...
28 Nov 2023, 18:19
Jinai Marekani
VERMONT (IQNA) - Polisi wa Jimbo la Vermont waliripoti Jumapili kwamba vijana watatu wa Kipalestina walipigwa risasi na kujeruhiwa karibu na Chuo Kikuu...
27 Nov 2023, 11:44
Mfumo wa Kifedha wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Mkutano wa 15 wa Kimataifa wa Soko la Mitaji ya Kiislamu (ICM) unafanyika, Tehran, mji mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambapo unashirikisha...
26 Nov 2023, 19:12
Zifahamu Dhambi/9
TEHRAN (IQNA) – Kumekuwa na mijadala mingi miongoni mwa wanachuoni wa Kiislamu kuhusu ni vigezo gani vilivyopo vya kutaja dhambi kuwa kubwa (Kabira) au...
26 Nov 2023, 14:20
Zaka katika Uislamu /7
TEHRAN (IQNA) – Kuna mamia ya Hadithi kuhusu kile kinachosaidia katika kuendeleza urafiki.
26 Nov 2023, 13:58
Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu/36
TEHRAN (IQNA) – Ni jambo linalokubalika miongoni mwa Waislamu na wanazuoni wengi wasio Waislamu yaliyomo katika Qur’ani Tukufu hayajabadilika tangu ilipoteremshwa...
26 Nov 2023, 13:47
Harakati za Qur'ani barani Afrika
NOUAKCHOTT (IQNA) – Toleo la nne la shindano la kitaifa la kuhifadhi Qur’an Tukufu na maandishi ya Kiislamu linaendelea katika mji mkuu wa Mauritania.
25 Nov 2023, 21:53