IQNA

Dawlat El Tilawa: Qari Kijana wa Misri Atunukiwa Tuzo ya ‘Tawi la Dhahabu’

IQNA – Omar Ali Awad ametangazwa na kutunukiwa tuzo ya “Tawi la Dhahabu” katika shindano la vipaji vya Qur’ani lijulikanalo kama “Dawlet El Telawa (Hali...

Msikiti Mkuu wa Kuwait: Usanifu wa Kipekee, Kitovu cha Elimu

IQNA – Katikati ya Jiji la Kuwait, mji mkuu wa nchi ya Kuwait, kuna moja ya misikiti mikubwa zaidi duniani, ambao si tu mahali pa ibada kwa maelfu ya waumini,...

Qari wa Qur'ani kutoka Iran, Mohsen Qassemi, Ashinda Tuzo ya Kimataifa ya Al-Ameed nchini Iraq

IQNA – Qari au Msomaji mahiri wa Qur'ani Tukufu kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, ameibuka mshindi wa kwanza katika toleo la tatu...

Wamoroko Wakusanyika Tena Kuunga Mkono Palestina

IQNA – Idadi kubwa ya raia wa Morocco walifanya mkusanyiko mbele ya jengo la Bunge katika mji mkuu Rabat, Ijumaa jioni, wakieleza mshikamano wao na wananchi...
Habari Maalumu
Meya wa New York Anukuu Qur’ani na Mafundisho ya Kiislamu Kutetea Agizo la Kulinda Wahamiaji

Meya wa New York Anukuu Qur’ani na Mafundisho ya Kiislamu Kutetea Agizo la Kulinda Wahamiaji

IQNA – Meya wa Jiji la New York, Zahran Mamdani, ametetea agizo lake linaloweka mipaka kwa ukamataji unaofanywa na maafisa wa Idara ya Uhamiaji na Forodha...
08 Feb 2026, 11:51
Rais wa Brazil avishwa skafu ya jadi ya Kipalestina (Keffiyeh)

Rais wa Brazil avishwa skafu ya jadi ya Kipalestina (Keffiyeh)

IQNA – Katika ishara ya kimaadili na ya kidiplomasia inayoonesha mshikamano na watu wa Palestina, Rais wa Brazil Luiz Inácio Lula da Silva alivaa keffiyeh...
07 Feb 2026, 10:01
Tarjuma za Qur'ani kutoka Malaysia zapelekzwa Marekani, Afrika Magharibi

Tarjuma za Qur'ani kutoka Malaysia zapelekzwa Marekani, Afrika Magharibi

IQNA-Malaysia inaendelea kutumia diplomasia ya kitamaduni na kidini kwa kusambaza nakala 40,000 za Qur’ani Tukufu zenye tarjuma katika lugha mbali mbali...
07 Feb 2026, 09:51
Kikao cha Qur’ani mjini Najaf chaadhimisha Maulidi ya Imam Zaman

Kikao cha Qur’ani mjini Najaf chaadhimisha Maulidi ya Imam Zaman

IQNA – Baraza la Kisayansi la Qur’ani Tukufu chini ya Idara ya Usimamizi wa Haram Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) liliandaa kikao maalumu cha Qur’ani mjini...
07 Feb 2026, 08:12
Magaidi wa Daesh washambulia msikiti jijini Islamabad na kuua angalau watu 31

Magaidi wa Daesh washambulia msikiti jijini Islamabad na kuua angalau watu 31

IQNA- Mlipuko mkubwa umetikisa msikiti wa Waislamu wa madhehebu ya Shia katika viunga vya mji mkuu wa Pakistan wakati wa sala ya Ijumaa, na ambapo watu...
07 Feb 2026, 08:06
Chuo Kikuu cha Qur’ani Tukufu kuanzishwa Pahang, Malaysia

Chuo Kikuu cha Qur’ani Tukufu kuanzishwa Pahang, Malaysia

IQNA-Malaysia iko mbioni kuanzisha chuo kikuu maalumu kwa elimu za Qur’ani, kufuatia ridhaa ya Sultan wa Pahang ya kubadilisha jina la taasisi ya elimu...
07 Feb 2026, 08:18
Mtaalamu: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalileta msukumo wa kurudisha heshima kwa Mataifa

Mtaalamu: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalileta msukumo wa kurudisha heshima kwa Mataifa

IQNA – Profesa mmoja wa Chuo Kikuu kutoka Iraq ameyalezea Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran si tu kama tukio la kisiasa, bali kama mabadiliko makubwa katika...
07 Feb 2026, 07:56
Nakala kubwa zaidi ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono katika Makumbusho ya Makka

Nakala kubwa zaidi ya Qur’ani Tukufu iliyoandikwa kwa mkono katika Makumbusho ya Makka

IQNA – Wageni wa Jumba la Makumbusho ya Qur’ani Tukufu katika Wilaya ya Kitamaduni ya Ḥirā’, mjini Makka, sasa wanayo fursa ya kushuhudia turathi adhimu...
05 Feb 2026, 12:22
Aya ya Qur’ani Inayohusu Jamii ya Imam Mahadi au Mahdawiyya
Mwokozi katika Qur’ani Tukufu / 1

Aya ya Qur’ani Inayohusu Jamii ya Imam Mahadi au Mahdawiyya

IQNA – Aya ya 55 ya Surat An-Nur inaeleza juu ya jamii tukufu ambayo bado haijawahi kutimia kikamilifu katika ulimwengu huu, wala haiwezi kutekelezwa juu...
05 Feb 2026, 11:54
Wasomi na wanafikra wa dunia watangaza kumuunga mkono Ayatullah Khamenei

Wasomi na wanafikra wa dunia watangaza kumuunga mkono Ayatullah Khamenei

Kundi la wasomi, wanafalsafa na wanaharakati kutoka sehemu mbalimbali za dunia limetangaza kumuunga mkono Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah...
04 Feb 2026, 18:01
Kiongozi wa Hizbullah atajwa kuwa “Msaidizi wa Imam Mahdi" wa mwaka

Kiongozi wa Hizbullah atajwa kuwa “Msaidizi wa Imam Mahdi" wa mwaka

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon ametangazwa rasmi kuwa “Mahdi Yavar" yaani Msaidizi wa Imam Mahdi' wa Mwaka.
04 Feb 2026, 20:42
Malaysia kutumia Misikiti kama vituo vya kuendeleza vijana

Malaysia kutumia Misikiti kama vituo vya kuendeleza vijana

IQNA – Katika juhudi za kuwaongoza vijana kupitia malezi ya kiroho, kijamii na kitaaluma, serikali ya Malaysia iko mbioni kuanzisha mtandao wa misikiti...
04 Feb 2026, 19:13
Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wakabidhiwa malalmiko ya Iran kuhusu tuhuma dhidi ya IRGC
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran

Mabalozi wa Umoja wa Ulaya wakabidhiwa malalmiko ya Iran kuhusu tuhuma dhidi ya IRGC

IQNA-Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imewaita mabalozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya (EU) kuwasilisha malalamiko yake dhidi ya azimio la hivi karibuni...
04 Feb 2026, 18:51
Bishara njema ya Imam Mahdi (ATF), mwokozi wa ulimwengu

Bishara njema ya Imam Mahdi (ATF), mwokozi wa ulimwengu

IQNA-Tuko katika siku ya 15 ya mwezi mtukufu wa Shaaban ambayo ni siku ya kuzaliwa Mtukufu Imam wa Zama, Imam Mahdi (Mwenyezi Mungu Aharakishe Kudhihiri...
03 Feb 2026, 16:04
Hesabu za Kiastronomia zatabiri  Mwezi wa Ramadhani  utaanza Februari 19 UAE

Hesabu za Kiastronomia zatabiri Mwezi wa Ramadhani utaanza Februari 19 UAE

IQNA — Kwa mujibu wa wataalamu wa elimu ya nyota, mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 2026 kwa hesabu za kiastronomia unatarajiwa kuanza Alhamisi, Februari...
03 Feb 2026, 14:06
Mufti Mkuu wa Oman Aikosoa OIC kwa Kunyamaza Kuhusu Uhalifu wa Israel

Mufti Mkuu wa Oman Aikosoa OIC kwa Kunyamaza Kuhusu Uhalifu wa Israel

IQNA — Mufti Mkuu wa Oman amekosoa vikali ukimya na kutochukua hatua kwa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) pamoja na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu...
03 Feb 2026, 13:24
Picha‎ - Filamu‎