IQNA

Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

Utawala wa Israel waendelea kutengwa kimataifa kutokana na jinai zake Gaza

IQNA-Vita vya Ghaza na jinai nyingine zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel zimekabiliwa na msururu wa mashinikizo ya kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni ambayo yameufanya utawala huo ghasibu kuwa taifa linalochukiwa na kukataliwa duniani.
13:19 , 2025 Oct 05
Qur’ani Tukufu  ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

Qur’ani Tukufu ni silaha yenye nguvu dhidi ya maadui asema kamanda wa IRGC

IQNA – Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ametaja Qur’ani Tukufu kuwa silaha yenye nguvu dhidi ya maadui.
13:11 , 2025 Oct 05
Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

Polisi Uingereza wachunguza tukio la chuki baada ya moto katika Msikiti wa East Sussex

IQNA – Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio linaloshukiwa kuwa shambulio la kuchoma moto kwa chuki dhidi ya Msikiti wa Peacehaven, ulioko East Sussex, usiku wa Jumamosi.
13:06 , 2025 Oct 05
Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

Msomi wa Al-Azhar atambuliwa kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” Katika Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Libya

IQNA – Profesa Abdul Karim Saleh, Mkuu wa Kamati ya Mapitio ya Qur’ani ya Al-Azhar, ametangazwa na kupewa heshima kama “Mtu wa Mwaka wa Qur’ani” katika Tuzo ya 13 ya Kimataifa ya Qur’ani ya Libya.
13:02 , 2025 Oct 05
Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

Watoto wa Mashujaa huko Sa’ada Yemen waenziwa katika Mashindano ya Qur'ani

IQNA-Katika hafla ya kusisimua iliyofanyika Sa’ada, Yemen, watoto wa mashujaa wameenziwa kwa mafanikio yao katika mashindano ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu, yaliyoandaliwa na Shule ya Qur’ani ya Mashujaa kwa ushirikiano na Taasisi ya Mashujaa.
12:54 , 2025 Oct 05
Kwa Picha: Maadhimisho ya Mwaka wa Kwanza wa Kumbukumbu ya Mashahidi wa Hizbullah Yafanyika Tehran

Kwa Picha: Maadhimisho ya Mwaka wa Kwanza wa Kumbukumbu ya Mashahidi wa Hizbullah Yafanyika Tehran

IQNA –Hafla maalum imefanyika katika Uwanja wa Imam Hussein (AS) mjini Tehran siku ya Alhamisi kuadhimisha mwaka mmoja tangu kufariki kwa mashahidi wa Hizbullah, aliyekuwa Katibu Mkuu Sayed Hassan Nasrallah na Sayed Hashem Safieddine.
16:12 , 2025 Oct 04
Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

Mashindano ya Qur'ani ya ‘Zayin al-Aswat’ yatia motisha kizazi kipya cha Wasomaji na Wahifadhi

IQNA – Afisa wa kamati ya maandalizi ya mashindano ya kwanza ya Qur'ani ya Zayin al-Aswat amesema kuwa lengo kuu la tukio hilo la Qur'an ni kutambua, kulea, na kuandaa vipaji mahiri vya vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchi.
16:04 , 2025 Oct 04
Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

Sharjah yakaribisha kizazi kipya cha wahifadhi wa Qur'ani Tukufu

IQNA – Taasisi ya Sharjah ya Qur'ani Tukufu na Sunnah katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) imewatunuku wahifadhi 95 wa Qur'an Tukufu, ikiendeleza dhamira yake ya kulea kizazi chenye misingi imara ya Kiislamu.
15:59 , 2025 Oct 04
Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

Mpango wazinduliwa kuhusu kuandika wasifu wa maulamaa 84,000 wa Kiislamu

IQNA – Mpango kabambe wa utafiti wa maisha ya maulamaa 84,000 wa Kiislamu umezinduliwa rasmi, kwa mujibu wa msomi wa Kiislamu kutoka Iran.
15:51 , 2025 Oct 04
Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

Hamas Yajibu Mpango wa Trump na kusema 'Hakuna utawala wa kigeni utakaosimamia Gaza'

IQNA-Harakati ya Kiislamu ya Kupigania Ukombozi wa Palestina, Hamas, imesema iko tayari “kuwaachilia mateka wote Waisraeli, walio hai na waliokufa,” lakini imesisitiza kuwa hakuna utawala wa kigeni utakaoruhusiwa kusimamia Ukanda wa Gaza.
15:39 , 2025 Oct 04
Qari Kijana: Mashindano ya ‘Zayin al-Aswat’ Ni Jukwaa Muafaka la Kugundua Vipaji vya Qur’ani

Qari Kijana: Mashindano ya ‘Zayin al-Aswat’ Ni Jukwaa Muafaka la Kugundua Vipaji vya Qur’ani

IQNA – Qari kijana kutoka Iran aliyeshiriki katika toleo la kwanza la mashindano ya Qur’ani ya ‘Zayin al-Aswat’(mapambo ya sauti) amesifu ubora wa mashindano hayo na kuyataja kuwa fursa muhimu ya kutambulisha wasomaji wa Qur’ani wasiojulikana sana nchini.
18:04 , 2025 Oct 03
Washindi waenziwa katika Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Qur’ani ‘ya Zayin al-Aswat’ Mjini Qom

Washindi waenziwa katika Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Qur’ani ‘ya Zayin al-Aswat’ Mjini Qom

IQNA – Hafla ya kufunga mashindano ya kwanza ya kitaifa ya Qur’ani yenye jina “Zayen al-Aswat” (mapambo ya sauti) ilifanyika siku ya Alhamisi mjini Qom, ambapo washiriki bora walienziwa na kutunukiwa zawadi.
17:59 , 2025 Oct 03
Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Croatia waenziwa

Washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Nchini Croatia waenziwa

IQNA – Toleo la 31 la mashindano ya kimataifa ya kuhifadhi na kusoma Qur’ani nchini Croatia limehitimishwa kwa hafla rasmi mjini Zagreb.
17:53 , 2025 Oct 03
Msichana wa Kipalestina akamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu hospitalini licha ya majeraha makubwa

Msichana wa Kipalestina akamilisha kuhifadhi Qur'ani Tukufu hospitalini licha ya majeraha makubwa

IQNA – Msichana wa Kipalestina aliyejeruhiwa ameweza kuhifadhi Qur'ani Tukufu yote akiwa kitandani hospitalini.
17:48 , 2025 Oct 03
‘Gaza, Huko Peke Yako’: Waandamanaji duniani walaani Israel kwa kuteka meli za misaada ya Gaza

‘Gaza, Huko Peke Yako’: Waandamanaji duniani walaani Israel kwa kuteka meli za misaada ya Gaza

IQNA – Idadi kubwa ya watu wameshiriki katika maandamano katika nchi mbalimbali kuonyesha mshikamano na Gaza na kulaani hatua ya Israel kuuteka nyara Msafara wa Meli wa Global Sumud uliokuwa umebeba misaada ya kibinadamu kuelekea eneo hilo a Wapalestina.
17:41 , 2025 Oct 03
1