IQNA

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

Sheikh wa Msikiti Mkuu wa Paris asema mwaka 2025 ulikuwa mgumu zaidi kwa Waislamu Ufaransa

IQNA – Sheikh Chems-Eddine Hafiz, mlezi wa Msikiti Mkuu wa Paris, amesema mwaka 2025 ulikuwa miongoni mwa miaka migumu zaidi kwa Waislamu nchini Ufaransa, ukitawaliwa na matukio ya vurugu yaliyofikia kiwango cha “kuuawa kwa misingi ya dini.”
14:51 , 2026 Jan 04
Kiongozi wa Hizbullah:Jenerali Soleimani alikuwa nguzo ya  Mhimili wa Muqawama

Kiongozi wa Hizbullah:Jenerali Soleimani alikuwa nguzo ya Mhimili wa Muqawama

IQNA – Katibu Mkuu wa Hizbullah amemkumbuka Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani kwa kusifu nafasi yake ya kipekee katika kupinga Marekani, akieleza kuwa kazi yake ilikuwa kiini cha Mhimili wa Muqawama (Mapambano).
14:41 , 2026 Jan 04
Watu 3,100 washiriki Itikafu katika Msikiti wa Jamkaran, Iran

Watu 3,100 washiriki Itikafu katika Msikiti wa Jamkaran, Iran

IQNA – Naibu mkurugenzi wa kitamaduni wa Msikiti wa Jamkaran mjini Qom, Iran, amesema zaidi ya watu 16,000 wamesajiliwa kushiriki katika ibada ya Itikafu ya mwezi wa Rajab.
14:33 , 2026 Jan 04
Hizbullah ya Lebanon yalaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela

Hizbullah ya Lebanon yalaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela

IQNA – Harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, imelaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Venezuela na mashambulizi ya miundombinu muhimu, maeneo ya kiraia na makazi katika taifa hilo la Amerika ya Kusini.
14:24 , 2026 Jan 04
Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

Qari wa Kimasri, Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, asoma Qur’ani Katika Msikiti wa Milwaukee

IQNA – Sheikh Ahmed Ahmed Nuaina, qari mashuhuri kutoka Misri, alisoma Qur’an katika msikiti wa Milwaukee, jimbo la Wisconsin, Marekani, Jumamosi jioni.
14:14 , 2026 Jan 04
Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa  hatua dhidi ya Israel

Wanaharakati wa Palestina wamsifu Meya Mamdani wa New York kwa hatua dhidi ya Israel

IQNA-Wanaharakati wa kutetea haki za Wapalestina wamemsifu Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, kwa kufuta amri za kiutawala zilizokuwa zikizuia shughuli za makundi yanayounga mkono Palestina.
20:46 , 2026 Jan 03
Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu

Shambulio dhidi ya Venezuela laonesha Marekani ni chhanzo cha uovu

IQNA – Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa tamko kali kulaani shambulio la kijeshi lililofanywa na Marekani dhidi ya Venezuela, ikilitaja kuwa kitendo cha jinai.
20:28 , 2026 Jan 03
Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

Kiongozi Muadhamu: Iran itampigisha magoti adui kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kwamba kwa kumtegemea Mwenyezi Mungu na kusimama pamoja na wananchi “Inshaallah, tutampigisha magoti adui.”
20:11 , 2026 Jan 03
Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

Uadilifu; Mhimili wa Utawala wa Kibinadamu wa Imam Ali (AS)

IQNA – Imam Ali (AS) si mfano tu wa uchaji Mungu kama mtu binafsi na usafi wa moyo, bali pia ni kielelezo adimu cha uongozi wa haki, uwajibikaji na unaomweka mwanadamu katikati ya utawala, afisa mmoja wa Iraq amesema.
19:54 , 2026 Jan 03
Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

Tamasha la kimataifa la ‘Roho ya Unabii’ lazinduliwa Karbala

IQNA-Toleo la nane la tamasha la kimataifa la kitamaduni kwa wanawake, liitwalo ‘Roho ya Unabii’, limezinduliwa mjini Karbala, Iraq, siku ya Alhamisi.
18:51 , 2026 Jan 02
Kampeni ya kuchangia Ibada ya Itikafu

Kampeni ya kuchangia Ibada ya Itikafu

IQNA-Kampeni ya ‘Nadhiri ya Itikafu’, ambapo watu wanachangia kugharamia ibada ya Itikafu misikitini imezinduliwa nchini Iran. Itikafu ni kujitenga kwa ajili ya ibada, na nadhiri ni ahadi ya kidini na jukumu la hiari.
18:44 , 2026 Jan 02
Qari kutoka Iran asoma Qur'ani katika hafla ya usiku wa kuamkia mwaka mpya Bosnia

Qari kutoka Iran asoma Qur'ani katika hafla ya usiku wa kuamkia mwaka mpya Bosnia

IQNA-Qari kutoka Iran ameshiriki katika usomaji Qur’an Tukufu katika hafla maalum iliyofanyika mjini Kakani, Bosnia na Herzegovina, usiku wa kuamkia Mwaka Mpya.
18:36 , 2026 Jan 02
Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Hamas imepinga vikali hatua ya Israel ya kujitwalia mamlaka juu ya Msikiti wa Ibrahimi

Amri ya hivi karibuni ya utawala wa  Israel, iliyondoa mamlaka ya manispaa ya al-Khalil (Hebron) katika maamuzi ya mipango kuhusu eneo nyeti la msikiti huo, inaendelea kukosolewa vikali.
18:03 , 2026 Jan 02
Sheikh Ali Mayunga, mfasiri maarufu wa Qur'ani Tukufu Afrika Mashariki ameaga dunia

Sheikh Ali Mayunga, mfasiri maarufu wa Qur'ani Tukufu Afrika Mashariki ameaga dunia

IQNA- Jamii ya Kiislamu Afrika Mashariki na hasa nchini Tanzania imekumbwa na msiba mkubwa kufuatia kufariki dunia kwa mwanazuoni mashuhuri, na mfasiri wa Qur'ani Tukufu, Sheikh Ali Jumaa Mayunga, aliyefariki dunia tarehe 1 Januari 2026, jijini Dar es Salaam, Tanzania.
17:03 , 2026 Jan 02
Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

Rais wa Somalia: Israel inataka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina hadi 'Somaliland'

IQNA-Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia amezinukuu ripoti za kiitelijinsia na kusema kuwa eneo lililojitenga la na nchi hiyo la Somaliland limekubali kuwapokea Wapalestina na kuanzishwa kambi ya kijeshi ya Israel katika eneo hilo mkabala wa kutambuliwa rasmi na Israel.
15:44 , 2026 Jan 01
1