IQNA

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

Kumbukumbu ya miaka 8 ya kifo cha Sheikh Tantawi, gwiji wa usomaji Qur'ani

IQNA – Jumamosi, tarehe 26 Julai 2025, ulimwengu wa Kiislamu uliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Sheikh Muhammad Abdul Wahhab Al-Tantawi, gwiji wa usomaji wa Qur’ani katika enzi ya dhahabu ya Misri.
15:40 , 2025 Jul 27
Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu Yaanza Tehran

IQNA – Hatua ya mkoa ya Mashindano ya 48 ya Kitaifa ya Qur'ani Tukufu nchini Iran ilianza asubuhi ya Ijumaa, Julai 25, 2025, chini ya usimamizi wa Idara ya Wakfu na Masuala ya Hisani ya Mkoa wa Tehran, katika Hoteli ya Eram.
15:18 , 2025 Jul 27
Picha: Wafanyakazi wa kujitolea wa Hilali Nyekundu ya Iran waanza safari ya Arbaeen 2025

Picha: Wafanyakazi wa kujitolea wa Hilali Nyekundu ya Iran waanza safari ya Arbaeen 2025

IQNA – Hafla ya kuwaaga wafanyakazi wa kujitolea wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) ilifanyika mnamo Julai 26, 2025, katika Haram ya Imam Khomeini, kusini mwa Tehran, kabla ya kuelekea Iraq kwa ajili ya hija ya Arbaeen.
15:05 , 2025 Jul 27
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Maendeleo ya kijeshi na kielimu ya Iran yataharakishwa zaidi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kwamba mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yameshindwa kutimiza malengo waliyojiwekea, huku akisisitiza kwamba taifa hilo litaendelea kusonga mbele kwa kasi zaidi katika nyanja za kijeshi na kielimu kwa azma iliyo imara.
17:46 , 2025 Jul 26
Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

Ayatullah Sistani atoa wito kwa nchi za Kiarabu na Kiislamu zichukue hatua kukabiliana na njaa inayoshadidi Gaza

IQNA-Kiongozi mkuu Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, ameelezea masikitiko yake makubwa kuhusu hali ya kibinadamu inayoendelea kuzorota katika Ukanda wa Gaza, hususan baa la njaa linalozidi kushika kasi, na kutoa wito kwa mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kuchukua hatua za haraka kukomesha janga hili la kusikitisha.
17:37 , 2025 Jul 26
Vikao vya Qur’ani Tukufu  Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

Vikao vya Qur’ani Tukufu Mwezi wa Muharram vyafanyika katika mkoa wa Babylon, Iraq

IQNA – Chuo cha Kisayansi cha Qur’ani kinachohudumu chini ya Utawala wa Haram ya Hadhrat Abbas (AS) kimeandaa mfululizo wa vikao vya Qur’ani Tukufu katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Babylon nchini Iraq, kwa mnasaba wa mwezi wa Muharram.
17:34 , 2025 Jul 26
Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

Ndoto ya Kusoma Qur’ani Tukufu yatimia kwa mzee mmoja wa Misri akiwa na umri wa Miaka 76

IQNA – Mwanamke mkongwe kutoka Aswan, Misri, aliyekuwa hajui kusoma wala kuandika kwa muda mrefu, hatimaye ameweza kutimiza ndoto yake ya kusoma Qur’ani Tukufu akiwa na umri wa miaka 76.
17:30 , 2025 Jul 26
Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

Nakala za Qur'ani zasambaziwa abiria katika Uwanja wa Ndege wa Al-Aaroui nchini Morocco

IQNA – Kwa lengo la kueneza mafundisho ya Uislamu, maafisa wa serikali ya Morocco wamegawa nakala za Qur’ani Tukufu kwa Wamorocco wanaoishi nje ya nchi waliporejea nyumbani.
17:21 , 2025 Jul 26
Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

Wanafunzi wa Qatar washiriki kozi ya Majira ya Joto ya Kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Wanafunzi thelathini wa Qatar wameshiriki katika kozi ya majira ya joto ya wiki tatu iliyoandaliwa na Kituo cha Elimu ya Qur'ani cha Al Noor kwa lengo la kuboresha kuhifadhi Qur'ani Tukufu na kukuza ujuzi wa kielimu.
14:10 , 2025 Jul 25
Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

Misri yaanzisha mradi wa majaribio wa 'Chekechea Misikitini'

IQNA – Mamlaka za Misri zimezindua mradi wa majaribio wa kutumia maeneo ya misikiti kwa elimu ya awali ya watoto chini ya makubaliano mapya ya ushirikiano kati ya Wizara ya Wakfu na Wizara ya Elimu.
14:02 , 2025 Jul 25
Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

Haram ya Imam Ali (AS) yajiandaa kuwapokea mamilioni ya Wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) iliyopo Najaf, Iraq, imetangaza kuwa inaendelea na maandalizi makubwa kwa ajili ya kuwapokea Wafanyaziyara wengi wanaotarajiwa kufika kwa ziyara ya Arbaeen ijayo.
13:55 , 2025 Jul 25
Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen nchini Iraq kuanza Agosti 5

IQNA – Shughuli za Msafara wa Qur'ani wa Arbaeen wa Iran mwaka huu nchini Iraq zinatarajiwa kuanza tarehe 5 Agosti, kwa mujibu wa afisa mmoja.
13:45 , 2025 Jul 25
Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa  Papa Leo

Ayatullah Hamedani atoa wito wa kuhitimishwa njaa na mzingiro Gaza katika barua kwa Papa Leo

IQNA-Mmoja wa viongozi wa ngazi za juu kidini nchini Iran amemwandikia barua Papa Leo XIV akisema: "Mienendo ya kikatili na isiyo ya kibinadamu ya utawala wa Kizayuni wa Israel ikiwa ni pamoja na kuzuia kupelekwa chakula na mahitaji muhimu kwa watu wa Gaza ni ukiukaji wa wazi wa kanuni za kidini, kibinadamu, maadili na sheria za kimataifa."
11:04 , 2025 Jul 25
Usomaji wa Tartili wa Aya ya 139 ya Surah Al-Imran kwa Sauti ya Ali Akbar Kazemi + Video

Usomaji wa Tartili wa Aya ya 139 ya Surah Al-Imran kwa Sauti ya Ali Akbar Kazemi + Video

IQNA-Katika kuunga mkono kampeni ya Qur’ani Tukufu iitwayo Fath inayoendeshwa na Shirika la Habari la Kimataifa la Qur’ani (IQNA), msomaji mashuhuri na mwalimu wa kimataifa wa Qur’ani, Ali Akbar Kazemi, amesoma kwa tartili Aya ya 139 ya Surah Al-Imran.
14:08 , 2025 Jul 24
Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

Mwanazuoni mwandamizi Iran ataka dunia ikomeshe njaa Gaza, asema Israel inatenda ‘uhalifu wa vita’

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amewataka viongozi wa Kiislamu na Kiongozi wa Kanisa Katoliki kushikamana dhidi ya mzingiro wa Israel huko Gaza, ambako njaa inazidi kupelekea janga kubwa la kibinadamu.
10:02 , 2025 Jul 24
6