IQNA

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

Hakuna tatizo lolote la usalama katika matembezi ya Arbaeen

IQNA – Kamati Kuu ya Iraq ya Uratibu wa Wafanyaziyara Mamilioni imetangaza kuwa hadi sasa hakuna ukiukaji wowote wa usalama ulioripotiwa wakati wa matembezi ya Arbaeen.
00:05 , 2025 Aug 14
Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

Programu za Qur’ani Zafanyika kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf

IQNA – Jukwaa la Kielimu la Qur’ani Tukufu, linalohusiana na Astan (uwakilishi wa ulinzi na usimamizi) wa Haram ya Hazrat Abbas (AS), linaandaa programu za Qur’ani na kutoa huduma za kijamii kwa wafanyaziyara wa Arbaeen mjini Najaf.
23:54 , 2025 Aug 13
Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

Chuo Kikuu cha Qur’ani Yemen Chaanza Shughuli za Maadhimisho ya Milad-un-Nabi

IQNA – Shughuli za kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (SAW) zimezinduliwa rasmi Jumatatu katika mji mkuu wa Yemen, Sana’a.
23:46 , 2025 Aug 13
Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

Mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu ashambuliwa kwenye basi Ottawa katika shambulio la chuki

IQNA – Mwanamke mchanga Muislamu aliyevaa hijaab ameshambuliwa na kutishiwa maisha ndani ya basi la jiji la Ottawa, Canada eneo la Kanata, katika tukio linalochunguzwa na polisi kama uhalifu unaochochewa na chuki dhidi ya Uislamu.
23:36 , 2025 Aug 13
Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

Wito wa ushiriki katika Tuzo ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen

IQNA – Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Arbaeen yametangaza rasmi mwaliko wa ushiriki katika nyanja mbalimbali za sanaa na fasihi.
23:21 , 2025 Aug 13
Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

Baraza la Jiji la Sydney Lakataa Pendekezo la Adhana ya Msikiti wa Lakemba

IQNA – Pendekezo la kutangaza Adhana mara moja kwa wiki kutoka Msikiti wa Lakemba limekataliwa na baraza la eneo hilo, lakini viongozi wa jamii wamesema wamedhamiria kuendelea kutafuta suluhisho la mbele.
00:01 , 2025 Aug 13
Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

Mashirika ya Kiislamu Uholanzi yamtuhumu Geert Wilders kwa kueneza chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Mashirika 14 ya Kiislamu nchini Uholanzi yamewasilisha malalamiko ya jinai dhidi ya mwanasiasa wa mrengo mkali wa kulia na anayepinga Uislamu, Geert Wilders.
23:52 , 2025 Aug 12
Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

Nasaha za Ayatullah Sistani kwa wafanyaziyara wa Arbaeen

IQNA – Ayatullah Ali al-Sistani amewataka wafanyaziyara wa Arbaeen kudumisha swala kwa wakati, ikhlasi ya moyo na na mavazi ya heshima na yenye staha katika safari yao tukufu: nguzo kuu ambazo amesema ndizo zenye kuhakikisha kukubaliwa kiroho na kupata thawabu za kudumu.
23:40 , 2025 Aug 12
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah 2025: Siku ya Tatu Yawaleta Washiriki 18

IQNA – Toleo la 45 la mashindano ya kimataifa ya Qur’ani linaloendelea mjini Makkah limeendelea Jumatatu katika Msikiti Mtukufu (Masjid al Haram), likishuhudia washiriki 18 wakionesha vipaji vyao vya Qur’ani Tukufu.
23:20 , 2025 Aug 12
Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

Kusoma Qur’ani Kwenye Njia ya Arbaeen ‘Hakuna Mfano Wake,’ Asema Qari

IQNA – Qari kutoka Iran, Hamidreza Amadi-Vafa, amesema kuwa kusoma Qur’ani katika njia ya kutoka Najaf hadi Karbala wakati wa Arbaeen hujenga mazingira ya kiroho yasiyo na mfano katika nyakati nyingine za mwaka.
23:09 , 2025 Aug 12
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Makkah: Roboti Zatumika Kuboresha Huduma kwa Wageni

IQNA – Roboti za kielektroniki zinazoweza kuingiliana na watumiaji zimetumika katika toleo la 45 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani yanayofanyika Makkah kwa lengo la kuboresha huduma kwa wageni.
23:59 , 2025 Aug 11
Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu Akagua Huduma Zinazotolewa kwa Mahujaji wa Arbaeen

Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu Akagua Huduma Zinazotolewa kwa Mahujaji wa Arbaeen

IQNA – Mwakilishi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija na Ziyara, pamoja na maafisa wengine kadhaa wa Kiirani walioko Karbala, Iraq, wamekagua huduma zinazotolewa kwa wafanyaziyara wa Arbaeen.
23:52 , 2025 Aug 11
Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

Mufti Mkuu wa India Ahamasisha Saumu a Kuomba Dua kwa Ajili ya Gaza

IQNA – Mufti Mkuu wa India amewahimiza maimamu wa misikiti mbalimbali nchini humo kuandaa dua maalumu na saumu kwa nia ya kuwasaidia Waislamu wa Gaza.
23:47 , 2025 Aug 11
Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

Jukwaa la ‘Misbah’ Kufundisha Qur’ani kwa Wasiozungumza Kiarabu

IQNA – Jukwaa la kielimu la Qur’ani kwa ajili ya wasiozungumza Kiarabu linazinduliwa nchini Saudi Arabia.
23:32 , 2025 Aug 11
Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

Siku ya Pili ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Saudia

IQNA – Siku ya pili ya Mashindano ya 45 ya Kimataifa ya Mfalme Abdulaziz ya Kuhifadhi, Kusoma kwa Tajwidi na Kufasiri Qur’ani Tukufu ilishuhudia washiriki 17 kutoka pembe mbalimbali za dunia wakisoma mbele ya hadhira katika Msikiti Mtukufu wa Makkah.
23:27 , 2025 Aug 11
1