IQNA – Mtaalamu kutoka chuo kikuu nchini Lebanon amesema kuwa lengo la utawala wa Kizayuni katika vita vya siku 12 dhidi ya lilikuwa kuuangusha mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusukuma mbele mpango wao wa “Mashariki ya Kati Mpya”, lakini muqawama na kusimama kidete Iran kuliuzuia.
20:12 , 2025 Jul 20