iqna

IQNA

al azhar
Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) - Ayatullah Ammar al-Hakim, kiongozi wa Harakati ya Al-Hikma (Hekima) ya Iraq, amekutana na mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed al-Tayyib.
Habari ID: 3477073    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/30

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kilimtunuku msichana barobaro ambaye amehifadhi Qur’ani Tukufu kikamilifu na Hadith 6,000 za Mtume Muhammad SAW pamoja na mashairi ya Kiarabu.
Habari ID: 3477034    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/23

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed al-Tayyeb anaripotiwa kupanga kusafiri kuelekea Iraq.
Habari ID: 3476965    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/06

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Afisa mwandamizi wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri amesema uungaji mkono kutoka kwa Waislamu kote ulimwenguni kwa Msikiti wa Al-Aqsa, al-Quds (Jerusalem) na Palestina unatokana na imani zao za kidini.
Habari ID: 3476558    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/13

Harakati za Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kinatarajia kufanya warsha maalum wiki ijayo kwa waamuzi au majaji katika mashindano ya Qur'ani Tukufu.
Habari ID: 3476534    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/08

Kuvunjiwa heshima Qur’ani Tukufu Ulaya
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetoa wito wa kususia bidhaa za Uswidi na Uholanzi ili kukabiliana vitendo viovu vya kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika mataifa hayo ya Ulaya hivi karibuni.
Habari ID: 3476461    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/25

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Matokeo ya hatua ya awali ya mashindano ya nchi nzima ya Qur'ani Tukufu Misri yanayoendeshwa na Al-Azhar Islamic Center yametangazwa.
Habari ID: 3476437    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/20

Harakati za Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) - Wizara ya Wakfu ya Misri imezindua mipango ya kuandaa mashindano ya kitamaduni mtandaoni kwa wanafunzi wa vituo vya kuhifadhi Qur'ani Tukufu nchini humo.
Habari ID: 3476423    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/18

Harakati za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Mtihani wa nne wa kuchagua wahifadhi Qur’ani wanaotaka kujiunga na Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri umeancha nchini humo.
Habari ID: 3476419    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/17

Hali ya Afghanistan
TEHRAN (IQNA) – Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri ameutaka utawala wa Taliban kuondoa marufuku ya elimu ya juu kwa wanawake nchini Afghanistan.
Habari ID: 3476290    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/23

Shughuli za Qur'ani Misri
TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri kimetangaza kuwa vituo 538 vya watoto vimezinduliwa hivi karibuni.
Habari ID: 3476277    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/20

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kwa mara nyingine tena kimeutaka ulimwengu uzingatia katika machungu na mateso ya taifa la Palestina na kukaliwa kwa mabavu ardhi sambamba na kulaani jinai za umwagaji damu zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi Wapalestina.
Habari ID: 3476177    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/12/01

TEHRAN (IQNA) – Kongamano la mazungumzo ya dini mbalimbali lilifanyika nchini Bahrain mapema mwezi huu na lilihudhuriwa na Kiongozi wa Kanisa Katoloki Papa Francis na Sheikh Mkuu wa Kituo cha Kiislamu Al-Azhar cha Misri Sheikh Ahmed el-Tayeb.
Habari ID: 3476161    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/28

TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya al-Wefaq, kundi kuu la upinzani la Bahrain, amekaribisha wito wa Shekhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar Sheikh Ahmed el-Tayyib wa mazungumzo ya baina ya Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni.
Habari ID: 3476072    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/11

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umekaribisha wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar cha Misri wa kuimarisha umoja kati ya Waislamu ndani ya mfumo wa kanuni za Kiislamu.
Habari ID: 3476058    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/08

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) imekumbatia wito wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar wa kuanzisha mazungumzo kati ya Waislamu wa madhehebu za Shia na Sunni.
Habari ID: 3476050    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/07

Umoja wa Waislamu
TEHRAN (IQNA)- Sheikhe Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri ametoa mwito wa Umoja wa Kiislamu sambamba na kufanyika mazungumzo baina ya Maulamaa wa madhehebu ya Shia na Sunni kwa ajili ya kukabiliana na fitina na mapigano ya kikaumu.
Habari ID: 3476037    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/11/05

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Shirika la shule za Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri limetangaza kuanza kwa mchakato wa usajili kwa wale walio tayari kushiriki katika mashindano ya kila mwaka ya Qur’ani ya kituo hicho.
Habari ID: 3475948    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/18

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Chuo Kikuu cha Kiislamu cha Al Azhar cha nchini Misri kimelaani kile ilichokitaja kuwa ugaidi za Kizayuni, baada ya Walowezi wa Kiyahudi kuchoma moto Qur'ani Tukufu katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
Habari ID: 3475912    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/11

Ugaidi Afrika
TEHRAN (IQNA)- Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri kimechapisha ripoti inayoashiria ongezeko la operesheni za kigaidi katika nchi za Afrika mwezi Septemba na kutaka kuongezwa hatua za kimataifa za kukabiliana na ongezeko la ugaidi katika bara hilo
Habari ID: 3475886    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/06